Saturday, August 14, 2010

mh. john mnyika achukua fomu

Mgombea ubunge jimbo la Ubungo kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ,Mh. John Mnyika akipokea fomu za kugombea Ubunge kwa jimbo hilo kutoka kwa Msimamizi Msaidizi wa uchaguzi jimbo la Ubungo,Bw. Gaudence Nyamwihura katika ofisi za Manispaa ya Kinondoni leo.
Mh. Mnyika akionyesha Fomu alizozichukua leo.
Mgomea ubunge jimbo la Ubungo kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Mh. John Mnyika akiwa ameshikilia fomu alizozichukua mchana huu katika ofisi za Manispaa ya Kinondoni huku akiwa amezungukwa na wajumbe wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema).

0 comments:

Post a Comment