Monday, August 30, 2010

Dr Akiwa Bungeni


Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Kiongozi wa Upinzani Bungeni na Mbunge wa Wawi, Hamad Rashid Mohamed (kushoto ) na Naibu Kiongozi wa Upinzani Bungeni ambaye pia ni Mbunge wa Karatu, Dr. Wilbrod Slaa (katikati) baada ya kusoma hotuba yake ya Kuahirisha bunge

0 comments:

Post a Comment