Wednesday, August 25, 2010

Dr. Bilali mkoani pwani


Mgombea Mwenza Mohamed Gharib Bilal, akimnadi mgombea Ubunge wa Jimbo la Rufiji kupitia tiketi ya Chama cha Mapinduzi, Dk. Seif Rashid, wakati wa mkutano wa Kampeni uliofanyika kwenye Viwanja vya Shule ya Msingi Muhoro, Tarafa na Kata ya Muhoro, Wilaya ya Rufiji Mkoa wa Pwani
Kamanda wa Chipukizi wa Wialaya ya Kilwa Masoko, Chekeni Omar, akimvisha Skafu Mgombea Mwenza, Mohamed Gharib Bilal, wakati wa mapokezi ya mgombea huyo eneo la Somanga, akitoka Wilaya ya Rufiji kuingia Wialaya ya Kilwa Masoko kuendele na Mikutano ya Kampeni.
Mgombea Mwenza wa Urais Tanzania,Dr. Mohamed Gharib Bilal, akisalimiana na wakazi wa Somanga, mpakani mwa Wilaya ya Rufiji na Kilwa Masoko wakati wakazi hao walipokuwa wakimpokea mgombea huyo aliyekuwa akiingia Wilaya hiyo kuendelea na mkutano wa Kampeni.
Umati wa watu, Wakazi wa Somanga wakimzunguka Mgombea Mwenza na kufunga barabara kwa muda ili kumpokea mgombea huyo alipokuwa akipita eneo hilo kuelekea Wilaya ya Kilwa Masoko.


kwa habari kamili
BOFYA HAPA

0 comments:

Post a Comment