Saturday, August 7, 2010

DK SLAA AHUTUBIA JANGWANI

Mgombea Urais kwa tikieti ya CHADEMA, DK. Slaa akipungui mkono mashabiki waliofika katika viwanja vya Jangwani leo kumsikiliza katika mkutano wa kuomba udhamini kwa wakazi wa Dar e salaam

Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe akisalimia wafuasi wake wakati akiingia katika viwanja vya Jangwani

Wafuasi wa Chadema wakiwa katika mstari wa kuwapokea viongozi wao

vifijo na nderemo zilitawala

ujumbe kutoka kwa 'wana vyuo' vikuu

vijana wa Chadema, akiwemo msanii Mr. II 'sugu' (kati) na Mkoloni (kulia)

..viongozi wakipokewa kwa furaha

safu ya viongozi katika mkutano wa Jangwani leo



Dk Slaa na Mbowe wakiteta jambo

sehemu ya umati uliohudhuria

helikopta ya Chadema ikivinjari angani kabla ya kutua Jangwani

1 comments:

Anonymous said...

wengi tunamkubali dr. ila kwa maoni yangu naomba aachane na huyo mke wa mtu hata kama aliachwa au kutengana na mumewe, na aangalie mtu wa kumfaa zaidi asiye na dosari. tunaomba aliangalie hilo japokuwa ni hisia zake binafsi na si katika uongozi wake tunaouhitaji.

Post a Comment