Friday, August 20, 2010

Maswali na Majibu – Mgombea Uraisi Dr W Slaa ( CHADEMA )

Wanabidii Karibuni tena kwenye Mjadala wa Maswali na Majibu Kwa mara
ya Kwanza Tutaanza kufanya mahojiani na Wagombea Uraisi Leo tunaye Dr
W Slaa wa CHADEMA – CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO tukipata
Mawasiliano ya Vyama zaidi Itapendeza .
Kama kawaida ntaanza .

1 – Mh Dr Slaa Naomba kujua Historia yako kwa kifupi na kwanini
unafikiri CHADEMA imefanya chaguo Nzuri kwa kukupa wewe Jukumu la
Kuwashawishi wapiga Kura wakupigie wewe Mwezi Oktoba .

2 – Kama ukishindwa Katika Uchaguzi wa Mwaka huu uko tayari kukubali
matokeo na kumpongeza Mshindani wako ? Je Uko Tayari Kwa Kushindwa
Uchaguzi hata kwa asilimia ndogo ?

FUATILIA MJADALA HUU HAPA Maswali na Majibu – Mgombea Uraisi Dr W Slaa ...

0 comments:

Post a Comment