Monday, August 30, 2010

DR SLAA na Mhe Masha

Mbunge wa Nyamagana na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mh. Lawrence Masha
(shoto) akiteta na Mbunge wa Karatu na Naibu Kiongozi wa Upinzani Bungeni, Mh. Dr.Wilbroad Slaa, kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma

0 comments:

Post a Comment