Friday, August 20, 2010

KAULI MBIU YA DR SLAA

My guess ni kuwa kampeni hazijaanza so sidhani kama hiyo ni issue kwa sasa.
I thought it was said earlier kuwa hili jukwaa sio la chama kimoja au?
Naona at times tunajisahau na kuandika as if hapa ni pa mlengo mmoja tu. I
hope hii ni kutokana na positive munkari ambao baadhi yetu tunao ktk kutaka
kuleta maendeleo ya kweli NA sio ile michezo ya kisanii na kujifanya tupo
huku kumbe timevaa zile ngozi za nanii..

Gonga KAULI MBIU YA DR SLAA Kujadili

0 comments:

Post a Comment