Friday, September 24, 2010

Wagombea Ubunge na Udiwani Bukoba Mjini

Click image for larger version  Name: IMGP0561.jpg Views: 92 Size: 229.0 KB ID: 14203

Wagombea wa Chadema, kutoka kulia, Mi Ikengya mgombea udiwani kata ya Kashai, Phocas Rwegasira mgombea wa Nkenge na Lwakatare mgombea wa Bukoba mjini.

Click image for larger version  Name: IMGP0589.jpg Views: 88 Size: 224.4 KB ID: 14204

Inaelekea wanamwambia Lwakatare "tutakupa kura zetu zote"

Click image for larger version  Name: IMGP0626.jpg Views: 87 Size: 258.6 KB ID: 14205

Lwakatare akihutubia

Click image for larger version  Name: IMGP0659.jpg Views: 90 Size: 272.3 KB ID: 14206
Click image for larger version  Name: IMGP0656.jpg Views: 88 Size: 248.2 KB ID: 14207

Sehemu ya umati wa watu waliokuwepo kuwasikiliza wagombea.

Click image for larger version  Name: IMGP0662.jpg Views: 90 Size: 207.8 KB ID: 14208

Phocas Rwegasira mgombea ubunge kwa tiketi ya Chadema jimbo la Nkenge akisalimia wananchi.

0 comments:

Post a Comment