Tuesday, September 14, 2010

Ahadi za DR W P Slaa Kwa Watanzania

1.Kujenga nchi isiyo na ufisadi

2.Kufufua Tanganyika ili irejee mezani kujadili muungano na Zanzibar

3.Kufufua uchumi wa nchi kwa kutumia rasilimali zilizopo

4.Kukata asilimia 20 ya mshahara wa rais

5.Kupunguza mishahara ya wabunge kwa asilimia 15

6. Kuweka Mwenge wa Uhuru Jumba la Makumbusho

7. Kutoa huduma bora za afya bure

8. kufuta kodi ya vifaa vya ujenzi

Fuatilia zaidi hapa

Ahadi za DR W P Slaa Kwa Watanzania

0 comments:

Post a Comment