Monday, October 4, 2010

KAMPENI ZA DR WP SLAA MBEYA


Sehemu ya umati wa wakazi wa mji wa Mbalizi mkoani Mbeya, wakiwa na mabango yenye ujumbe mabli mbali, wakati wa mkutano wa mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa. (Picha na Joseph Senga)


Mgombea urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, akiwahutubia maelfu ya wakazi wa mji wa Mbalizi mkoani Mbeya, kwenye Uwanja wa Stendi ya Mabasi. (Picha na Joseph Senga)


Mgombea ubunge katika jimbo la Mbeya Mjini kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Joseph Mbilinyi "Mr Sugu", akiwatumbuiza wananchi wa mji wa Mbalizi, wakati wa mkutano wa kampeni za mgombea urais kwa tiketi ya chama hicho, Dk. Willbrod Slaa, uliofanyika kwenye Uwanja wa Stendi ya Mabasi. (Picha na Joseph Senga)

0 comments:

Post a Comment