Sunday, October 24, 2010

Tunaongeza mashina na mabalozi wa CHADEMA kila kona!!


Nikipandisha bendera katika moja ya mashina mapya ya CHADEMA kata ya Mabibo

Kabla ya kukamilisha mchakato wa ufunguaji rasmi wa shina ni muhimu kuelezea na kufafanua misingi, itikadi na nguzo za CHADEMA.

0 comments:

Post a Comment