Monday, October 25, 2010

CHAGUA CHADEMA CHANGIA CHADEMA

Wakazi wa Kawe waliojitokeza kwa wingi leo jioni kumsikiliza mgombea Urais kwa tiketi ya chama cha CHADEMA,Dk Slaa katika kampeni zake za lala salama.


Wakazi wa Kawe wakiwa katika viwanja vya Tanganyika Pekaz

Maelfu ya wakazi wa Kawe waliojitokeza

0 comments:

Post a Comment