Baada ya kushindwa kuwahutubia wananchi wa manispaa ya Iringa leo jioni ,mgombea urais kupitia chama cha Demokrasia na maendeleo (chadema) Dk Willibrod Slaa leo saa 3 usiku huu atawahutubia moja kwa moja wananchi wa mkoa wa Iringa kupitia kituo cha Redio Country Fm (88.5 ) wananachi watapata nafasi ya kumsikiliza na kuuliza maswali yao kaa mkao wa kula
Thursday, October 28, 2010
DK SLAA KUHUTUBIA WANANCHI WA MKOA WA IRINGA KUPITIA REDIO COUNTRY FM LEO SAA 3 USIKU
Baada ya kushindwa kuwahutubia wananchi wa manispaa ya Iringa leo jioni ,mgombea urais kupitia chama cha Demokrasia na maendeleo (chadema) Dk Willibrod Slaa leo saa 3 usiku huu atawahutubia moja kwa moja wananchi wa mkoa wa Iringa kupitia kituo cha Redio Country Fm (88.5 ) wananachi watapata nafasi ya kumsikiliza na kuuliza maswali yao kaa mkao wa kula
0 comments:
Post a Comment