Thursday, October 28, 2010

Namuunga Mkono DR Slaa Asema Prof Lipumba wa CUF

Mgombea Uraisi kwa tiketi ya chama cha wananchi CUF amesema anamuunga mkono
yule wa CHADEMA DR W P SLAA , Kwahiyo amewasihi wananchi wampigie kura dr
slaa kama wasipompa yeye ila kasema yeye ni kama Mlima wakati DR SLAA ni
Kichuguu ameyasema hayo katika Mdahalo maalumu unaorushwa na ITV Moja kwa
moja sasa hivi

Gonga hapa kufuatilia Mjadala Huu
Namuunga Mkono DR Slaa Asema Prof Lipumba wa CUF

0 comments:

Post a Comment