Tuesday, February 15, 2011

UZINDUZI WA TAWI LA CHADEMA CHUO CHA MIPANGO DODOMA

Mgeni rasmi ktk uzinduzi wa tawi hilo mbunge viti malumu(MBEYA)Mheshimiwa Naomi Kaihula akiongea baada ya uzinduzi kushoto kwake ni mbunge wa arusha Godless Lema kutoka Chadema
Mbunge wa Kawe -Chadema Mheshimiwa Halima Mdee akiunguruma kwenye mkutano huo
Mbunge wa Ubungo-CHADEMA Mheshimiwa John Mnyika akinguruma katika Mkutano huo
Mbunge wa viti maalumu Arusha mjini (CHADEMA) Mheshimiwa Rebecca Michael Mngodo akiongea
wanachama wa CHADEMA tawi la chuo cha mipango DODOMA wakishangiria ktk uzinduzi wa Ofisi ya CHADEMA eneo la MIYUJI Dodoma, ofisi hiii ya tawi la chadema eneo la miyuji imefunguliwa rasmi February 12-2-2011 na mbunge wa viti maaalum chadema mkoani mbeya Mheshimiwa Naomi Kaihula na kuhudhuriwa na Wabunge wa chadema ambao wapo kwenye shughuli mbalimbaliz a vikao vya bunge mjini dodoma

0 comments:

Post a Comment