Monday, February 21, 2011

Dk Wilbrod Slaa Ashiriki Kwenye Misa Ya Watu wa Tatu Wa Familia Moja Waliofariji Kwa Ajali ya Mabomu Gongo la Mboto

Katibu Mkuu wa Chadema,Dk.Willibrod Slaa akiwa na Mke wake kwenye mazishi ya mama na watoto wake wawili kutoka familia moja ya Jacob Nyajengo wa Mzambarauni,waliokufa kwa kuangukiwa na nyumba ya jirani, kutokana mabomu yaliyolipuka kutoka ghala la Silaha katika kambi ya Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Gongo la Mboto,Dar es Salaam.Mheshimiwa Dk Wilbrod Slaa alifuatana pia na wabunge kadhaa kwa tiketi ya chama hicho.Picha hii na Mdau Bashir Nkromo

0 comments:

Post a Comment