Wednesday, February 9, 2011

CHADEMA NA VIONGOZI WAKITOKA NJE

KAMBI YA UPINZANI Bungeni
Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bunge Mheshimiwa Freeman Mbowe(kushoto)akiongoza Wabunge wa Chadema kutoka Ndani ya Ukumbi wa Bunge Mjini Dodoma.kulia ni Mbunge wa Kigoma Kaskazini Mheshimiwa Zitto Kabwe
Wabunge wa Chadema Wakitoka Ndani ya Ukumbi wa Bunge Jana Jioni.Picha Zote na Mwanakombo Juma-MAELEZO

0 comments:

Post a Comment