Thursday, January 13, 2011

meya mpya wa jiji la Mwanza kupitia CHADEMA

Huyu ndiye meya mpya wa jiji la Mwanza kupitia CHADEMA Bw.Josephat Manyerere(kulia) akipongezwa na mbunge wa Nyamagana Mh.Wenje, na kwa chati pembeni ni diwani wa Mwaloni Kirumba Bw.Novat Manoko.

0 comments:

Post a Comment