Thursday, March 24, 2011

Mbunge wa Arusha(Chadema)Godbless Lema Azitungia Wimbo Vurugu za Arusha

Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, alipoonyesha CD iliyobeba wimbo alioutunga kuelezea vurugu na vifo vya Arusha,kulia ni Katibu wa Kanda ya Kinondoni Chadema Henry Kilowo. Picha na Mdau Venance Nestory.

0 comments:

Post a Comment