Kuna jamaa yangu ameniambia kwamba kuna taarifa za kugundulika kituo Bandia
( Feki ) Cha kupiga kura , Anasema wananchi wa maeneo hayo walikuta majina
yao yameandikwa mara 2 moja kwenye eneo lao na kopy ya pili kwenye eneo
lingine na kubandikwa ambako hakuna kutuo lakini majina yao yalibandikwa
hapo .
Hizi ni tetesi tu sijadhibitisha lakini watu wawe makini kwa kuangalia
vizuri vituo na majina yao
GONGA HAPA KUFUATILIA
Kituo Bandia cha Kupiga Kura Chagundulika Shinyanga
Tetesi za Soka Ulaya Jumatatu 29.04.2024
34 minutes ago
0 comments:
Post a Comment