Saturday, March 19, 2011

Zitto Kabwe Atoa Mkono wa Pole kwa Ndugu zetu wa Japan

Mbunge wa Kigoma Kaskazini -Chadema Mheshimiwa Zitto Kabwe akitia saini kitabu cha Maombolezo kwenye Ubalozi wa Japan Nchini Tanzania
Mbunge wa Kigoma Kaskazini -Chadema Mheshimiwa Zitto Kabwe akitoa pole kwa Balozi wa Japan nchini-Balozi Hiroshi Nakagawa

0 comments:

Post a Comment