Thursday, March 24, 2011

Zitto Kabwe ambaye pia ni Mbunge wa Kigoma Kaskazini Kupitia Chadema

Mwenyekiti wa kamati ya mashirika ya umma na hesabu za serikali (POAC) Zitto Kabwe ambaye pia ni Mbunge wa Kigoma Kaskazini Kupitia Chadema akitazama madini ya mchuchuma wilayani Ludewa ,madini hayo yapo nje nje kama yanavyoonekana hapa .

0 comments:

Post a Comment