Thursday, March 24, 2011

Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Mashirika ya Umma (POAC) Mh. Zitto Kabwe (Mb)

Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Mashirika ya Umma (POAC) Mh. Zitto Kabwe (Mb) (katikati) akitoa tathmini ya ziara ya kamati hiyo kukagua ufanisi wa miradi ya Shirika la Maendeleo la Taifa (NDC) ya Mchuchuma, Liganga na Ngaka South na Shirika la NSSF kuhusu mradi wa Kiwira. Kulia ni Katibu wa Kamati Bw. Erick Maseke na Kushoto ni Makamu Mwenyekiti Mh. Deo Filikunjombe.

0 comments:

Post a Comment