Saturday, March 19, 2011

Kutembelea Mradi wa Makaa ya Mawe la Katewaka

Samples ya structure ya shimo ya Mkaa wa Mawe eneo la Katewaka inayofanyiwa utafiti na Kampuni ya MM Steel

*Jumla ya mashimo tisa(9) yamekwishachimbwa. Matokeo ya awali yanaonyesha kuwepo kwa makaa mengi.

Kampuni ya MM Steel Resources Public Limited Company ilishinda zabuni ya kuzalisha chuma ghafi(sponge Iron) na watazalisha umeme wakitumia makaa ya mawe kutoka Katewaka.

Serikali Kupitia Waraka wa Baraza la Mawaziri Na.14 wa mwaka 2007 iliamua kuwa “ Vilima vidogovidogo vichimbwe kwa utaratibu wa ‘Kasi Mpya’, yaani wawekezaji wadogo na hasa Watanzania wapewe vilima vidogo kuchimba Makaa ya Mawe na Chuma”

Geologist akitoa ufafanuzi

*Mgodi wa Makaa ya mawe utazalisha kwa kiwango cha tani 330,000 kwa mwaka.

Zitto Kabwe Atoa Mkono wa Pole kwa Ndugu zetu wa Japan

Mbunge wa Kigoma Kaskazini -Chadema Mheshimiwa Zitto Kabwe akitia saini kitabu cha Maombolezo kwenye Ubalozi wa Japan Nchini Tanzania
Mbunge wa Kigoma Kaskazini -Chadema Mheshimiwa Zitto Kabwe akitoa pole kwa Balozi wa Japan nchini-Balozi Hiroshi Nakagawa

Mheshimiwa Zitto Kabwe Akipata Dafu

Mbunge wa Kigoma Kaskazini(Chadema), Zitto Kabwe akipata maji ya Dafu nje ya Ofisi ndogo za Bunge jijini Dar es Salaam Machi 16, 2011.Picha na Zitto Kabwe

Tuesday, March 1, 2011

In Depth Interview with Dr. Willibrod Slaa - Feb 28, 2011

Tanzania’s main opposition party Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Democracy and Development Party - DDP) is carrying out what it termed as the “demonstrations and rallies against corruption in Tanzania”. According to Dr. Willibrod Slaa (in the picture addressing a rallyl in Shinyanga yesterday) the Secretary General of the party and former presidential candidate, the demonstrations are “a way to force the Tanzanian government to listen to the cries of the people and take immediate actions to resolve some of the issues that have made the life our people harder everyday”.

Dr. Slaa who came second in the last year’s election said that, “The government of President Kikwete has failed to deal with corruption, high level of inflation and in fact has become negligent of its responsibilities”. Speaking following massive demonstrations and rallies in Tanzania’s second largest city of Mwanza in the Northwestern part of the country, Dr. Slaa said that the demonstrations were just the beginning of something bigger if the Kikwete’s government will not take actions soon to deal with grand corruption in the country.



Read Story on CNN Ireport

MAANDAMANO YA CHADEMA KAHAMA

Click image for larger version    Name: kahama.JPG  Views: 312  Size: 47.5 KB  ID: 24081

Click image for larger version    Name: kamaha1.JPG  Views: 313  Size: 45.4 KB  ID: 24082

Click image for larger version    Name: kahama3.JPG  Views: 307  Size: 38.1 KB  ID: 24083

Click image for larger version    Name: kahama4.JPG  Views: 305  Size: 50.6 KB  ID: 24084