Tuesday, November 2, 2010

PETER MSIGWA - IRINGA MJINI


MGOMBEA wa chama cha Demokrasia na maendeleo ( Chadema) jimbo la Iringa mjini mchungaji Peter Msigwa amevunja ngome ya CCM mkoa wa Iringa baada ya kuwabwaga vibaya wapinzani wake katika matokeo ya ubunge baada ya kujizolea kura 17742 dhidi ya kura 16916 alizopata mgombea wa chama cha mapinduzi (CCM) Monica Mbega ambaye ni mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro.

0 comments:

Post a Comment