Tuesday, November 2, 2010

JOHN MNYIKA - UBUNGO

Kwa mujibu wa taarifa zilizopatikana hivi sasa ni kwamba Mgombea Ubunge kwa jimbo la Ubungo na Naibu katibu mkuu kupitia chama cha CHADEMA,Bwa.John Mnyika ametangazwa rasmi kuwa ndiye Mbunge mteule wa jimbo hilo.

0 comments:

Post a Comment