Thursday, March 24, 2011

Zitto Kabwe ambaye pia ni Mbunge wa Kigoma Kaskazini Kupitia Chadema

Mwenyekiti wa kamati ya mashirika ya umma na hesabu za serikali (POAC) Zitto Kabwe ambaye pia ni Mbunge wa Kigoma Kaskazini Kupitia Chadema akitazama madini ya mchuchuma wilayani Ludewa ,madini hayo yapo nje nje kama yanavyoonekana hapa .

Mwenyekiti wa kamati ya bunge hesabu za mashirika ya umma Mhe.Zitto kabwe

Mwenyekiti wa kamati ya bunge hesabu za mashirika ya umma Mhe.Zitto kabwe akiwatuliza wafanyakazi wa mgodi wa Kiwira ,wasihujumu mgodi huo pamoja na serikali kuchelewa kuwalipa mishahara yao

Mbunge wa Arusha(Chadema)Godbless Lema Azitungia Wimbo Vurugu za Arusha

Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, alipoonyesha CD iliyobeba wimbo alioutunga kuelezea vurugu na vifo vya Arusha,kulia ni Katibu wa Kanda ya Kinondoni Chadema Henry Kilowo. Picha na Mdau Venance Nestory.

Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Mashirika ya Umma (POAC) Mh. Zitto Kabwe (Mb)

Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Mashirika ya Umma (POAC) Mh. Zitto Kabwe (Mb) (katikati) akitoa tathmini ya ziara ya kamati hiyo kukagua ufanisi wa miradi ya Shirika la Maendeleo la Taifa (NDC) ya Mchuchuma, Liganga na Ngaka South na Shirika la NSSF kuhusu mradi wa Kiwira. Kulia ni Katibu wa Kamati Bw. Erick Maseke na Kushoto ni Makamu Mwenyekiti Mh. Deo Filikunjombe.

Zitto Kabwe Atoa Mkono wa Pole kwa Ndugu zetu wa Japan

Mbunge wa Kigoma Kaskazini -Chadema Mheshimiwa Zitto Kabwe akitia saini kitabu cha Maombolezo kwenye Ubalozi wa Japan Nchini Tanzania
Mbunge wa Kigoma Kaskazini -Chadema Mheshimiwa Zitto Kabwe akitoa pole kwa Balozi wa Japan nchini-Balozi Hiroshi Nakagawa

Mbunge Godbles Lema Afungua Tawi Jipya la Chadema Katika chuo kikuu ch Sebastiani Kolowa

Mbunge wa Arusha Mjini Godbles Lema akihutubia wananchi mara baada ya kufungua tawi jipya la Chadema katika chuo kikuu ch Sebastiani Kolowa wilayani Lushoto jijini Tanga mwishoni mwa wiki iliyopita
.

mbunge wa mbeya mjini Chadema Mheshimiwa Joseph Mbilinyi

Mjumbe wa Kamati Jamii Bungeni na mbunge wa mbeya mjini Chadema Mheshimiwa Joseph Mbilinyi (Mr. Sugu) akichangia.

Saturday, March 19, 2011

Kutembelea Mradi wa Makaa ya Mawe la Katewaka

Samples ya structure ya shimo ya Mkaa wa Mawe eneo la Katewaka inayofanyiwa utafiti na Kampuni ya MM Steel

*Jumla ya mashimo tisa(9) yamekwishachimbwa. Matokeo ya awali yanaonyesha kuwepo kwa makaa mengi.

Kampuni ya MM Steel Resources Public Limited Company ilishinda zabuni ya kuzalisha chuma ghafi(sponge Iron) na watazalisha umeme wakitumia makaa ya mawe kutoka Katewaka.

Serikali Kupitia Waraka wa Baraza la Mawaziri Na.14 wa mwaka 2007 iliamua kuwa “ Vilima vidogovidogo vichimbwe kwa utaratibu wa ‘Kasi Mpya’, yaani wawekezaji wadogo na hasa Watanzania wapewe vilima vidogo kuchimba Makaa ya Mawe na Chuma”

Geologist akitoa ufafanuzi

*Mgodi wa Makaa ya mawe utazalisha kwa kiwango cha tani 330,000 kwa mwaka.

Zitto Kabwe Atoa Mkono wa Pole kwa Ndugu zetu wa Japan

Mbunge wa Kigoma Kaskazini -Chadema Mheshimiwa Zitto Kabwe akitia saini kitabu cha Maombolezo kwenye Ubalozi wa Japan Nchini Tanzania
Mbunge wa Kigoma Kaskazini -Chadema Mheshimiwa Zitto Kabwe akitoa pole kwa Balozi wa Japan nchini-Balozi Hiroshi Nakagawa

Mheshimiwa Zitto Kabwe Akipata Dafu

Mbunge wa Kigoma Kaskazini(Chadema), Zitto Kabwe akipata maji ya Dafu nje ya Ofisi ndogo za Bunge jijini Dar es Salaam Machi 16, 2011.Picha na Zitto Kabwe

Tuesday, March 1, 2011

In Depth Interview with Dr. Willibrod Slaa - Feb 28, 2011

Tanzania’s main opposition party Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Democracy and Development Party - DDP) is carrying out what it termed as the “demonstrations and rallies against corruption in Tanzania”. According to Dr. Willibrod Slaa (in the picture addressing a rallyl in Shinyanga yesterday) the Secretary General of the party and former presidential candidate, the demonstrations are “a way to force the Tanzanian government to listen to the cries of the people and take immediate actions to resolve some of the issues that have made the life our people harder everyday”.

Dr. Slaa who came second in the last year’s election said that, “The government of President Kikwete has failed to deal with corruption, high level of inflation and in fact has become negligent of its responsibilities”. Speaking following massive demonstrations and rallies in Tanzania’s second largest city of Mwanza in the Northwestern part of the country, Dr. Slaa said that the demonstrations were just the beginning of something bigger if the Kikwete’s government will not take actions soon to deal with grand corruption in the country.



Read Story on CNN Ireport

MAANDAMANO YA CHADEMA KAHAMA

Click image for larger version    Name: kahama.JPG  Views: 312  Size: 47.5 KB  ID: 24081

Click image for larger version    Name: kamaha1.JPG  Views: 313  Size: 45.4 KB  ID: 24082

Click image for larger version    Name: kahama3.JPG  Views: 307  Size: 38.1 KB  ID: 24083

Click image for larger version    Name: kahama4.JPG  Views: 305  Size: 50.6 KB  ID: 24084